Hon. Bady Twalib (Jomvu, ODM) Asante sana, Mhe. Spika wa Muda, kwa kunipatia fursa na mimi nichangie Mswada ambao, tukiuangalia katika Kipengee cha Katiba 204 (2) , sehemu inayotakikana kuangaziwa zaidi ni mambo ya maji, miundo msingi, barabara, na vilevile umeme. Asante sana, Mhe. Farah Maalim, mzee wangu, mentor. Kwa...