THE PARLIAMENT OF KENYA
THE SENATE
THE HANSARD
JOINT SITTING
PARLIAMENT OF KENYA
JOINT SITTING OF THE NATIONAL ASSEMBLY AND THE SENATE
Tuesday, 6th October, 2015
ARRIVAL OF HIS EXCELLENCY THE PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
COMMUNICATION FROM THE CHAIR
REASON FOR CONVENING OF JOINT SITTING OF PARLIAMENT
Your Excellency, Hon.
October 6, 2015
JOINT SITTING
ADDRESS BY VISTING DIGNITARY ADDRESS BY H. E (DR.) JAKAYA MRISHO KIKWETE, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
Zungumza Kiswahili!
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
October 6, 2015
JOINT SITTING
ADJOURNMENT
Waheshimiwa Wabunge, tuendelee kusimama. Mheshimiwa Rais wa Tanzania, jirani wetu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ambaye ni mgeni wetu wa heshima, Mheshimiwa Spika wa Bunge la Taifa, Mheshimiwa Justin Muturi, waheshimiwa Wabunge wote wa Bunge la Kenya, tumekuwa na mkufunzi na mimi ni mwanafunzi.
Waheshimiwa Maseneta, Bunge la Seneti litahairishwa kwa muda wa dakika 30 na tutarejea katika makao yetu baada ya muda huo.
Nidhamu! Nidhamu! Mheshimiwa Rais wa nchi jirani ya Tanzania, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Spika wa Seneti, Mheshimiwa Ekwee Ethuro, waheshimiwa Wabunge wote ambao mmefika kupata mafunzo kutoka kwa jirani mwema, Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Bunge la Kitaifa litahairishwa kwa muda wa dakika 30. Tutarudia kikao papa hapa.